-
Jina la Mungu na Jitihada za Alfonso de Zamora za Kutokeza Maandishi SahihiMnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 1
-
-
Wapinzani fulani walimshutumu Kadinali Cisneros kwa kuwa alipotayarisha Biblia ya Polyglot alitumia wasomi Wayahudi waliokuwa wamebadili dini zao.
-
-
Jina la Mungu na Jitihada za Alfonso de Zamora za Kutokeza Maandishi SahihiMnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 1
-
-
Alfonso de Zamora alikuwa msomi mkuu aliyetayarisha na kurekebisha maandishi ya Kiebrania ambayo mwishowe yalichapishwa katika Biblia ya Complutensian Polyglot, mwaka wa 1522. (Katika Biblia hiyo, sarufi ya Kiebrania na maneno ya Kiebrania yaliyotafsiriwa kwa Kilatini yaliwasaidia sana watafsiri.)
-
-
Jina la Mungu na Jitihada za Alfonso de Zamora za Kutokeza Maandishi SahihiMnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 1
-
-
Maandishi hayo yaliyorekebishwa ya Kiebrania na Kigiriki yalipokuwa tayari, watafsiri wengine walianza kazi muhimu ya kutafsiri Biblia katika lugha ambayo watu wangeelewa. Wakati William Tyndale alipotafsiri Biblia katika Kiingereza, alikuwa mmoja wa watafsiri wa kwanza kutumia maandishi ya Kiebrania ya Biblia ya Complutensian Polyglot.
-