-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Kulikuwa na shangwe kubwa sana wakati kazi ya watu wa Yehova ilipoandikishwa kisheria hatimaye! Mnamo Septemba 1, 1948, ofisi mpya ya tawi ilifunguliwa ikiwa na jina Mashahidi wa Yehova badala ya Shirika la Mnara wa Mlinzi.
-
-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
1954: Ofisi ya tawi yahamishiwa Luanshya.
1962: Ofisi ya tawi yahamishiwa Kitwe.
-
-
Zambia2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
1993: Ofisi ya tawi ya sasa huko Lusaka yawekwa wakfu.
2000
2004: Majengo mapya kwenye ofisi ya tawi huko Lusaka yawekwa wakfu.
-