-
Kutumikia kwa Uaminifu-Mshikamanifu Pamoja na Tengenezo la YehovaMnara wa Mlinzi—1997 | Agosti 1
-
-
Zile ofisi zote za tawi 104 za Watch Tower Society kutia na makao makuu ya Marekani,* zinaitwa Betheli, neno la Kiebrania linalomaanisha “Nyumba ya Mungu.”
-
-
Kutumikia kwa Uaminifu-Mshikamanifu Pamoja na Tengenezo la YehovaMnara wa Mlinzi—1997 | Agosti 1
-
-
*Majengo hayo ya kiwanda, ofisi, na makao si hekalu kubwa la kiroho la Mungu, au nyumba yake. Hekalu la kiroho la Mungu ni mpango wake wa ibada safi. (Mika 4:1) Kwa hiyo, si jengo halisi lililo duniani.
-