Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Betheli ya Brooklyn—Historia ya Miaka 100
    Mnara wa Mlinzi—2009 | Mei 1
    • Majengo ambayo shirika la Watch Tower Society lilinunua kwenye 13-17 Hicks Street yalikuwa mali ya kasisi mashuhuri aliyeitwa Henry Ward Beecher, nayo yaliitwa Betheli ya Beecher.

  • Betheli ya Brooklyn—Historia ya Miaka 100
    Mnara wa Mlinzi—2009 | Mei 1
    • Toleo la Mnara wa Mlinzi la Machi 1, 1909 (1/3/1909), lilisema: “Ni jambo la ajabu sana kwamba tulipata Betheli ya Beecher kisha bila kutarajia tukapata makao yake ya zamani. . . . Makao mapya yataitwa ‘Betheli,’ na ukumbi na ofisi mpya itaitwa ‘Maskani ya Brooklyn.’ Majina haya yatatumiwa badala ya jina ‘Nyumba ya Biblia.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki