Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Dhuluma Tatizo la Ulimwenguni Pote
    Amkeni!—2003 | Agosti 22
    • ◼ Wanaoharibu Mahusiano: Hawa hueneza uvumi mbaya kuwahusu wengine. Wanawake wanaodhulumu wengine hupenda kutumia mbinu hii.

  • Dhuluma Baadhi ya Visababishi na Matokeo
    Amkeni!—2003 | Agosti 22
    • Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 16 ambaye alidhulumiwa na baba yake wa kambo na vilevile na wanafunzi wenzake shuleni, alibadilika kuwa mdhalimu alipofika darasa la saba. Anasema hivi: “Nilikuwa na hasira nyingi; nilimdhulumu mtu yeyote tu. Kuhisi uchungu si jambo dogo. Mtu anapoumizwa, yeye hutaka kuwaumiza wengine pia.” Ijapokuwa kwa kawaida wasichana wanaowadhulumu wengine hawatumii jeuri, wao huwadhulumu wengine kwa sababu wamekasirika.a

  • Dhuluma Baadhi ya Visababishi na Matokeo
    Amkeni!—2003 | Agosti 22
    • a Kwa kawaida, wasichana huwadhulumu wenzao kwa kujitenga nao na kueneza uvumi. Hata hivyo, inaonekana sasa wasichana wengi wanatumia jeuri pia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki