-
Dhuluma Tatizo la Ulimwenguni PoteAmkeni!—2003 | Agosti 22
-
-
◼ Wanaoharibu Mahusiano: Hawa hueneza uvumi mbaya kuwahusu wengine. Wanawake wanaodhulumu wengine hupenda kutumia mbinu hii.
-
-
Dhuluma Baadhi ya Visababishi na MatokeoAmkeni!—2003 | Agosti 22
-
-
Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 16 ambaye alidhulumiwa na baba yake wa kambo na vilevile na wanafunzi wenzake shuleni, alibadilika kuwa mdhalimu alipofika darasa la saba. Anasema hivi: “Nilikuwa na hasira nyingi; nilimdhulumu mtu yeyote tu. Kuhisi uchungu si jambo dogo. Mtu anapoumizwa, yeye hutaka kuwaumiza wengine pia.” Ijapokuwa kwa kawaida wasichana wanaowadhulumu wengine hawatumii jeuri, wao huwadhulumu wengine kwa sababu wamekasirika.a
-
-
Dhuluma Baadhi ya Visababishi na MatokeoAmkeni!—2003 | Agosti 22
-
-
a Kwa kawaida, wasichana huwadhulumu wenzao kwa kujitenga nao na kueneza uvumi. Hata hivyo, inaonekana sasa wasichana wengi wanatumia jeuri pia.
-