Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Ili kuhakikisha kwamba watu katika visiwa vyote katika sehemu hiyo ya dunia walikuwa na fursa ya kusikia juu ya Ufalme wa Mungu, katika 1948 Watch Tower Society ilitayarisha ile mashua Sibia yenye urefu wa meta 18 kuwa makao ya wamishonari yenye kuelea. Kikundi cha wafanyakazi kilipewa mgawo kupeleka ujumbe wa Ufalme kwenye kila kisiwa cha Indies Magharibi ambacho hakikuwa na yeyote akifanya kazi ya kuhubiri habari njema. Gust Maki alikuwa ndiye kapteni, na waliokuwa pamoja naye ni Stanley Carter, Ronald Parkin, na Arthur Worsley. Walianza na Visiwa Out vya kikundi cha Bahamas, kisha wakafanya kazi kuelekea kusini-mashariki kupitia Visiwa vya Leeward na Visiwa vya Windward. Ziara zao zilikuwa na matokeo gani? Katika St. Maarten mfanyabiashara mmoja aliwaambia hivi: “Watu hawakuzoea kamwe kuongea juu ya Biblia, lakini tangu mwe hapa kila mtu anaongea juu ya Biblia.”

  • Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Ramani/Picha katika ukurasa wa 462]

      Mashua “Sibia” ilitumika kuwa kao la kimishonari lenye kuelea katika Indies Magharibi

      G. Maki

      S. Carter

      R. Parkin

      A. Worsley

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki