-
Kukirihi “Vitu Vyenye Kina Kirefu vya Shetani”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
16. Ingawa Yesu na baraza lenye kuongoza la Kikristo la karne ya kwanza hakuongeza mzigo zaidi, ni vitu gani ambavyo lazima viepukwe?
16 Ile jamii ya Yohana leo imetia moyo pia waandamani wao, ule umati mkubwa, kujihadhari na mavutano ya ukosefu wa adili, kama yale yaliyomo katika ulimwengu wa matumbuizo wenye kushusha tabia. Hakuna haja ya kuona au kujaribu ufisadi kwa sababu ya udadisi au ili kujifunza cha kuepuka.
-
-
Kukirihi “Vitu Vyenye Kina Kirefu vya Shetani”Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Wakristo wenye hekima huepuka “vitu vyenye kina kirefu” vya ulimwengu wa Shetani wenye kutatanisha. Kumbuka, “ulimwengu unapitilia mbali na ndivyo na tamaa yao, lakini yeye ambaye hufanya mapenzi ya Mungu hubaki milele.”—1 Wakorintho 1:19, Kingdom Interlinear; 2:10; 1 Yohana 2:17, NW.
-