-
Je, Uko Tayari kwa Siku ya Yehova?Mnara wa Mlinzi—1997 | Machi 1
-
-
Ni kweli kwamba, Yesu alisema hivi: “Kuhusu siku hiyo na saa hiyo hakuna mtu ajuaye, wala hao malaika wa mbingu wala Mwana, ila Baba tu.” (Mathayo 24:4-14, 36) Lakini unabii wa Yesu waweza kutusaidia tuwe tayari kwa “siku hiyo na saa hiyo.”
-
-
Je, Uko Tayari kwa Siku ya Yehova?Mnara wa Mlinzi—1997 | Machi 1
-
-
14. Hatimaye Yehova alimwambia Noa nini, na kwa nini?
14 Safina ilipokuwa karibu kumalizika, huenda Noa akawa alifikiri kwamba Furiko lilikuwa karibu, ingawa hakujua wakati hasa ambapo lingetukia. Hatimaye Yehova alimwambia hivi: “Baada ya siku saba nitainyeshea dunia mvua, siku arobaini mchana na usiku.” (Mwanzo 7:4) Hilo lilimpa Noa na familia yake wakati wa kutosha tu kuingiza aina zote za wanyama ndani ya safina na wao wenyewe waingie kabla ya Furiko kuanza. Hatuhitaji kuijua siku wala saa ya mwanzo wa uharibifu wa mfumo huu; hatukukabidhiwa mgawo wa kuwaokoa wanyama, na wanadamu wenye uwezekano wa kuokoka tayari wanaingia safina ya ufananisho, paradiso ya kiroho ya watu wa Mungu.
-