Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 1
    • Neno la Yehova Liko Hai

      Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

      MIAKA 77 imepita tangu Wayahudi warudi katika nchi yao kutoka utekwani Babiloni. Hekalu lililojengwa na Gavana Zerubabeli limekuwapo kwa miaka 55 sasa. Sababu kuu iliyowafanya Wayahudi warudi katika nchi yao ni kurudishwa kwa ibada ya kweli huko Yerusalemu. Hata hivyo, watu hawana bidii kwa ajili ya ibada ya Yehova. Wanahitaji kutiwa moyo, nacho Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati kinatoa msaada huo.

  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati
    Mnara wa Mlinzi—2005 | Oktoba 1
    • Inaaminika kwamba kuhani Ezra ndiye aliyeandika kitabu hicho mwaka wa 460 K.W.K.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki