-
‘Mkashangilie Daima kwa Ajili ya Hivi Niviumbavyo’Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
21. Ni mbingu mpya zipi zilizotokea mwaka wa 1914?
21 Hata hivyo, kumbuka kwamba Petro alirudia maneno ya unabii wa Isaya akaonyesha kwamba ungetimizwa wakati ujao. Mtume huyo aliandika hivi: “Ziko mbingu mpya na dunia mpya ambazo tunangojea kulingana na ahadi yake, na katika hizo uadilifu utakaa.” (2 Petro 3:13) Mwaka wa 1914 zile mbingu mpya zilizokuwa zimengojewa sana zilitokea. Ufalme wa Kimesiya uliozaliwa mwaka huo unatawala kutoka mbinguni kwenyewe, na Yehova ameupa ufalme huo mamlaka ya kuitawala dunia yote. (Zaburi 2:6-8) Serikali hiyo ya Ufalme, iliyo chini ya Kristo na watawala wenzake 144,000, ndio mbingu mpya.—Ufunuo 14:1.
-
-
‘Mkashangilie Daima kwa Ajili ya Hivi Niviumbavyo’Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kupitia Isaya, Yehova anasema hivi: “Tazama, mimi ninaumba mbingu mpya na dunia mpya, na maneno ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.” (Isaya 65:17, “Zaire Swahili Bible”)
-