Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Msimamizi-nyumba Mwaminifu na Baraza Lake Linaloongoza
    Mnara wa Mlinzi—2009 | Juni 15
    • 15. Wakristo wanapaswa kuwa na maoni gani kuwahusu wale wanaokula mkate na kunywa divai wakati wa Ukumbusho, na watiwa-mafuta wana maoni gani kujihusu?

      15 Kwa upande mwingine, Wakristo wengine wanapaswa kuwa na maoni gani kumhusu mtu ambaye anadai kwamba ametiwa-mafuta na hivyo anaanza kula mkate na kunywa divai wakati wa Ukumbusho? Hawapaswi kumhukumu mtu huyo. Jambo hilo ni kati yake na Yehova. (Rom. 14:12)

  • Msimamizi-nyumba Mwaminifu na Baraza Lake Linaloongoza
    Mnara wa Mlinzi—2009 | Juni 15
    • Lakini wakati uleule, ingawa washiriki wa umati mkubwa wanaiheshimu jamii ya mtumwa, wanakuwa waangalifu ili wasimtukuze mtu yeyote yule anayedai kuwa mshiriki wa jamii ya mtumwa huyo. Hakuna Mkristo yeyote ambaye kwa kweli alitiwa mafuta kwa roho ya Mungu angetaka au kutazamia atendewe kwa njia hiyo.—Mdo. 10:25, 26; 14:14, 15.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki