Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo Ambayo Wengine Wamesema
    Amkeni!—2010 | Agosti
    • Italia “Watu 30,000 wamekaa kimya katika Uwanja wa Michezo wa Olympic . . . Hakuna takataka zinazotupwa ovyoovyo, hakuna kelele. Hivyo ndivyo hali ilivyokuwa jana katika Uwanja wa Michezo wa Olympic . . . Hakuna mtu anayetoa ishara za matusi, hakuna sigara au hata mikebe [ya vinywaji] iliyotupwa ovyoovyo. Watu walikuwa wamefungua Biblia, wakinukuu mambo makuu, na watoto wakiwa wamekaa kimya.”—Gazeti L’Unità, likiripoti kuhusu kusanyiko la Mashahidi wa Yehova huko Rome.

  • Mambo Ambayo Wengine Wamesema
    Amkeni!—2010 | Agosti
    • Brazili Gazeti moja liliripoti hivi: “Mashahidi wa Yehova hufanya mambo kwa njia inayopendeza sana. Mahali wanapokutania huwa safi kila mara. Kila kitu huwa kimepangwa vizuri . . . Wanapomaliza shughuli zao, wao huacha mahali hapo pakiwa safi kuliko palivyokuwa. Hotuba zinapoendelea mahali hapo huwa kimya. Hawasukumani wala kugongana. Wao huwa na tabia nzuri wakati wote. . . . Kwa kweli hii ni dini yenye utaratibu. Wanajua jinsi Mungu anavyopaswa kuabudiwa.”—Gazeti Comércio da Franca.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki