-
Kupiga Mbiu ya Kurudi kwa BwanaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Katika pindi ya miaka ya mwishoni-mwishoni ya 1890, mikusanyiko ilianza kupangwa katika mahali pengi. C. T. Russell alitoa hotuba mara nyingi katika pindi hizo.
-
-
Kupiga Mbiu ya Kurudi kwa BwanaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Mikusanyiko hiyo ya mapema ilikuwa vipindi vya ushirika mchangamfu na kiburudisho cha kiroho. Ilitumika kutia nguvu umoja wa Wanafunzi wa Biblia wote na kutangaza kweli za Biblia.
-