Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kukusanyika Ili Tumsifu Yehova
    Huduma ya Ufalme—2003 | Juni
    • 5 Sikiliza na Ujifunze: Ezra aliutayarisha moyo wake kwa sala ili kupokea neno la Mungu. (Ezra 7:10) Aliuelekeza moyo wake ili kupokea mafundisho ya Yehova. (Mit. 2:2) Tunaweza kuanza kutayarisha mioyo yetu kwa ajili ya kusanyiko hata kabla ya kuondoka nyumbani kwa kutafakari kichwa cha kusanyiko na kukizungumzia na familia yetu.

      6 Kwenye ukumbi mkubwa au uwanja wa kusanyiko kwaweza kuwa na vikengeusha-fikira vingi. Vikengeusha-fikira hivyo vyaweza kugeuza fikira zetu kutoka kwa msemaji, na kutufanya tukose habari muhimu. Madokezo yaliyo kwenye sanduku lililoonyeshwa hapa yanaweza kutusaidia tuboreshe uwezo wetu wa kukaza fikira.

  • Kukusanyika Ili Tumsifu Yehova
    Huduma ya Ufalme—2003 | Juni
    • [Sanduku katika ukurasa wa 3]

      Kusikiliza Kwenye Kusanyiko

      ▪ Tafakari vichwa vya hotuba

      ▪ Fungua maandiko

      ▪ Andika maandishi machache

      ▪ Andika mambo makuu ya kutumia

      ▪ Rudia mambo unayojifunza

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki