-
Sehemu ya 3—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Wakati Ndugu Knorr na Ndugu Franz walipokuwa wakifanya safari hizo za utumishi, wamishonari zaidi waliozoezwa Gileadi walikuwa wakiwasili katika migawo yao. Kufikia mwisho wa 1944, baadhi yao walikuwa wakitumikia katika Kosta Rika, Mexico, na Puerto Riko.
-