-
“Kutetea na Kuthibitisha Kisheria Habari Njema”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Mei 3, 1943, ilikuwa siku ya kukumbukwa kikweli kwa Mashahidi wa Yehova kuhusiana na mashtaka mbele ya Mahakama Kuu Zaidi ya Marekani. Katika siku hiyo moja, kesi 12 kati ya 13 (zote zikiwa zimejumlishwa ziweze kusikizwa na kuamuliwa katika maamuzi manne), Mahakama iliamua kwa kuwapendelea.b
-
-
“Kutetea na Kuthibitisha Kisheria Habari Njema”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
b Wakati wa mwaka wa kalenda wa 1943, maombi na rufani katika kesi za kisheria 24 zilizohusu Mashahidi wa Yehova yalipelekwa kwenye Mahakama Kuu Zaidi ya Marekani.
-
-
“Kutetea na Kuthibitisha Kisheria Habari Njema”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
e Kuanzia 1919 hadi 1988, maombi na rufani katika jumla ya kesi 138 zilizohusu Mashahidi wa Yehova yalifanywa katika Mahakama Kuu Zaidi ya Marekani. Kesi 130 kati yazo zilipelekwa mahakamani na Mashahidi wa Yehova; 8, na washindani wao wa kisheria. Katika kesi 67 Mahakama Kuu Zaidi ilikataa kusikiliza tena kesi hizo kwa sababu, kama vile Mahakama ilivyoona jambo hilo wakati huo, hakukuwa na masuala ya maana ya kikatiba au kisheria ya taifa yaliyozushwa. Katika kesi 47 ambazo Mahakama ilisikiliza, maamuzi yaliwapendelea Mashahidi wa Yehova.
-