Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafalme Washindani Waingia Katika Karne ya 20
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 16. Kulingana na unabii, mfalme wa kaskazini alitendaje baada ya kushindwa?

      16 “Naye [mfalme wa kaskazini] atarudi na kulighadhibikia hilo agano takatifu; na kutenda kadiri apendavyo; naam, atarudi, na kuwasikiliza walioacha hilo agano takatifu.” (Danieli 11:30b) Ndivyo alivyotabiri malaika, na ndivyo ilivyotimia.

  • Wafalme Washindani Waingia Katika Karne ya 20
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 18. Hitler ‘alitendaje kadiri alivyopenda’?

      18 Punde baada ya kupata mamlaka, Hitler alianzisha shambulio kali dhidi ya “agano takatifu,” lililowakilishwa na ndugu watiwa-mafuta wa Yesu Kristo. (Mathayo 25:40) Katika hilo alitenda “kadiri apendavyo” dhidi ya Wakristo hao wenye uaminifu-mshikamanifu, akiwanyanyasa wengi wao kikatili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki