Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Amenipa “Nguvu Ipitayo Iliyo ya Kawaida”
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Januari 1
    • Mhudumu huyo wa wakati wote alimpatia Ndugu yangu, Emmanuel Paterakis, kijitabu Where Are the Dead?, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova.b

  • Yehova Amenipa “Nguvu Ipitayo Iliyo ya Kawaida”
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Januari 1
    • Shauku ya ndugu yangu kwa ajili ya kazi ya kuhubiri ilinichochea. Baada ya muda mfupi familia yetu ilipelelezwa na polisi. Walikuwa wakija nyumbani wakati wowote mchana au usiku wakimtafuta Emmanuel au vichapo. Ninakumbuka vizuri wakati kasisi mmoja alipokuja kutushawishi turudi kanisani. Emmanuel alipomwonyesha katika Biblia kwamba jina la Mungu ni Yehova, kasisi huyo aliichukua Biblia hiyo, akaitikisa kwa njia yenye kutisha karibu na uso wa ndugu yangu huku akipaaza sauti, “Kitabu hiki kimekupotosha!”

      Katika mwaka wa 1940, Emmanuel alikamatwa kwa kukataa kutumikia jeshini na kupelekwa kwenye mstari wa mbele wa vita huko Albania. Hatukuweza kuwasiliana naye, hivyo tukafikiri alikuwa amekufa. Hata hivyo, miaka miwili baadaye tulipata barua tusiyotazamia kutoka kwake akiwa gerezani. Alikuwa hai na salama! Katika barua yake alitaja andiko ambalo sijalisahau kamwe: “Kwa maana macho ya BWANA hukimbia-kimbia duniani mwote, ili ajionyeshe mwenye nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake.” (2 Mambo ya Nyakati 16:9) Hicho kilikuwa kitia-moyo tulichohitaji kwelikweli!

      Akiwa gerezani, Emmanuel aliwaomba ndugu fulani wanitembelee.

  • Yehova Amenipa “Nguvu Ipitayo Iliyo ya Kawaida”
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Januari 1
    • Emmanuel alipoachiliwa kutoka gerezani, alianza kutembelea makutaniko huko Athens akiwa mwangalizi asafiriye. Nilihamia huko mwaka wa 1947.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki