Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Kweli Yesu Alikufa Juu ya Msalaba?
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Machi 1
    • Kwa mfano, mara nyingi maandishi ya kale ya michoro ya Misri na pia michoro ya miungu yao, inaonyesha umbo la herufi T ikiwa na duara juu. Msalaba huo unaitwa ansate, au msalaba wenye kishikio, ambao unafikiriwa kuwa ishara ya uhai. Baada ya muda, msalaba huo ulikubaliwa na kutumiwa sana na Kanisa la Koptiki na makanisa mengine.

  • Je, Kweli Yesu Alikufa Juu ya Msalaba?
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Machi 1
    • [Picha katika ukurasa wa 19]

      Mchoro wa ukutani wa Wamisri (yapata karne ya 14 K.W.K.) Unaoonyesha msalaba wa ansate, ishara ya uhai

      [Hisani]

      © DeA Picture Library / Art Resource, NY

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki