-
Mwanavita-Mfalme Asherehekea Ushindi Kwenye Har–MagedoniUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Macho yake ni mwali wa moto, na juu ya kichwa chake pana mataji mengi.”—Ufunuo 19:11, 12a, NW.
-
-
Mwanavita-Mfalme Asherehekea Ushindi Kwenye Har–MagedoniUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
6 Mataji mengi hupamba kichwa cha Mwanavita-Mfalme huyu. Hayawani-mwitu ambaye Yohana aliona akitoka katika bahari alikuwa na mataji kumi, yakiwa ni picha ya utawala wake wa kitambo wa mandhari ya kidunia. (Ufunuo 13:1, NW) Ingawa hivyo, Yesu ana “mataji mengi.” Utawala wake wenye utukufu haulandiki, kwa kuwa yeye ni “Mfalme wa wale ambao hutawala wakiwa wafalme na Bwana wa wale ambao hutawala wakiwa mabwana.”—1 Timotheo 6:15, NW.
-