-
Kutumikia Kwa Shangwe Licha ya MagonjwaMnara wa Mlinzi—2006 | Juni 1
-
-
Kazi ya Kikristo ilipoendelea na watu wengi kukubali kweli ya Biblia, akina ndugu waliona uhitaji wa kuwa na mahali pa kufanyia mikutano. Ndugu yangu mkubwa George, na mke wake, Eleni, walikubali chumba walichotumia kama ghala kitumiwe kwa ajili ya mikutano. Ghala hiyo iliyokuwa karibu na nyumba yao, ilifanyiwa marekebisho na kuwa mahali panapofaa kufanyia mikutano. Hivyo, akina ndugu wakawa na Jumba la Ufalme la kwanza kisiwani. Walifurahi kama nini! Nacho kilikuwa kichocheo kilichoje cha ongezeko zaidi!
-
-
Kutumikia Kwa Shangwe Licha ya MagonjwaMnara wa Mlinzi—2006 | Juni 1
-
-
[Picha katika ukurasa wa 17]
Jumba la Ufalme la kwanza huko Xylophagou linalotumiwa mpaka leo
-