-
Yehova Ni “Mfunuaji wa Siri”Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 15
-
-
11. Ni mifano gani mbalimbali inayotumiwa kufananisha Milki ya Babiloni? (Tazama maelezo ya chini.)
11 Nabii Danieli alikuwa miongoni mwa mateka waliopelekwa Babiloni. (Dan. 1:1-6) Yehova alimtumia kufunua jinsi ambavyo falme zingefuatana baada ya serikali hiyo kuu ya ulimwengu kuanguka. Yehova alifunua siri hizo akitumia mifano mbalimbali. Kwa mfano, alimletea Mfalme Nebukadneza wa Babiloni ndoto kuhusu sanamu kubwa sana ambayo ilitengenezwa kwa madini ya aina mbalimbali. (Soma Danieli 2:1, 19, 31-38.) Kupitia Danieli, Yehova alifunua kwamba kichwa cha dhahabu cha sanamu hiyo kilifananisha Milki ya Babiloni.b Serikali kuu ya ulimwengu iliyotawala baada ya Babiloni ilifananishwa na kifua na mikono ya fedha.
-
-
Yehova Ni “Mfunuaji wa Siri”Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 15
-
-
14, 15. Yehova anafunua mambo gani kuhusu Milki ya kale ya Ugiriki?
14 Kichwa cha tano cha mnyama-mwitu wa kitabu cha Ufunuo kinafananisha Ugiriki. Kama Danieli alivyokuwa amefunua mapema alipofasiri ndoto ya Nebukadneza, serikali hiyo kuu inafananishwa pia na tumbo na mapaja ya shaba ya ile sanamu.
-
-
Yehova Ni “Mfunuaji wa Siri”Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 15
-
-
19. (a) Danieli anaeleza nini kuhusu serikali ya sita kuu ya ulimwengu? (b) Makala nyingine itazungumzia nini?
19 Katika ndoto ambayo Danieli alimfasiria Nebukadneza, Roma inafananishwa na miguu ya chuma. (Dan. 2:33)
-