-
Kuzikumbuka Siku za Mwisho za Yesu DunianiMnara wa Mlinzi—1998 | Machi 15
-
-
Nisani 10
Yesu afika kwenye hekalu mapema. Jana, aliwaka hasira kwa sababu ya kule kutumia kwa kadiri kubwa ibada ya Babake, Yehova Mungu, kwa faida za kibiashara. Kwa hiyo, kwa bidii kubwa, aanza kuwatupa nje wale wenye kununua na kuuza hekaluni. Kisha apindua meza za wabadili-fedha wenye pupa na mabenchi ya hao waliokuwa wakiuza njiwa. “Imeandikwa,” Yesu asema kwa mkazo, “‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala,’ lakini nyinyi mnaifanya pango la wapokonyaji.”—Mathayo 21:12, 13.
Makuhani wakuu, waandishi, na watu walio wakubwa wachukizwa sana na matendo na ufundishaji wa Yesu wa hadharani. Jinsi watamanivyo sana kumwua! Lakini wazuiwa na umati kwa sababu watu washangazwa na kufundisha kwa Yesu na wafuliza “kushikamana sana naye ili wamsikie.” (Luka 19:47, 48) Jioni ikaribiapo, Yesu na waandamani wake waonea shangwe matembezi yenye kupendeza ya kurudi Bethania ili kupata pumziko zuri la usiku.
-
-
Kuzikumbuka Siku za Mwisho za Yesu DunianiMnara wa Mlinzi—1998 | Machi 15
-
-
10 Jumatatu Safari ya mapema kuingia Yerusalemu; 103, 104
asafisha hekalu; Yehova asema kutoka
mbinguni
-