-
1. Ni Sahihi KihistoriaAmkeni!—2007 | Novemba
-
-
Kabla ya mwaka wa 1993, hakukuwa na ushuhuda nje ya Biblia uliounga mkono maisha ya Daudi, yule mchungaji kijana mwenye ujasiri aliyekuja kuwa mfalme wa Israeli. Lakini mwaka huo, wachimbaji wa vitu vya kale walipata jiwe la volkano [2], katika eneo fulani upande wa kaskazini mwa Israeli linalofikiriwa kuwa la karne ya tisa K.W.K., na wataalamu wanasema lina maneno “Nyumba ya Daudi” na “mfalme wa Israeli.”
-
-
1. Ni Sahihi KihistoriaAmkeni!—2007 | Novemba
-
-
2: HUC, Tel Dan Excavations; photo: Zeev Radovan
-