Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1. Ni Sahihi Kihistoria
    Amkeni!—2007 | Novemba
    • Kabla ya mwaka wa 1993, hakukuwa na ushuhuda nje ya Biblia uliounga mkono maisha ya Daudi, yule mchungaji kijana mwenye ujasiri aliyekuja kuwa mfalme wa Israeli. Lakini mwaka huo, wachimbaji wa vitu vya kale walipata jiwe la volkano [2], katika eneo fulani upande wa kaskazini mwa Israeli linalofikiriwa kuwa la karne ya tisa K.W.K., na wataalamu wanasema lina maneno “Nyumba ya Daudi” na “mfalme wa Israeli.”

  • 1. Ni Sahihi Kihistoria
    Amkeni!—2007 | Novemba
    • 2: HUC, Tel Dan Excavations; photo: Zeev Radovan

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki