-
Usiruhusu Ugonjwa Ukufanye Upoteze Shangwe YakoMnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 15
-
-
Kwa upande mwingine, Izabela, analazimika kukabiliana na hali ambazo hazionekani wazi. Anaeleza hivi: “Tangu utotoni nimekuwa nikikabiliana na hali ya kushuka moyo. Hilo limesababisha nishikwe na hofu za ghafla, matatizo ya kupumua, na maumivu ya tumbo. Matokeo yake ni kwamba kwa kawaida ninahisi nikiwa mchovu.”
-
-
Usiruhusu Ugonjwa Ukufanye Upoteze Shangwe YakoMnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 15
-
-
Izabela, ambaye ana ugonjwa wa kushuka moyo, anaeleza hivi: “Nina ‘baba’ na ‘mama’ wengi katika kutaniko, wale wanaonisikiliza na kujitahidi kunielewa. Kutaniko ni familia yangu—hapa ndipo ninapopata amani na shangwe.”
-
-
Usiruhusu Ugonjwa Ukufanye Upoteze Shangwe YakoMnara wa Mlinzi—2011 | Desemba 15
-
-
“Ninapenda sana kuhubiri nyumba kwa nyumba, lakini ninapohisi siwezi, ninahubiri kwa kutumia simu.”—Izabela, ambaye ana ugonjwa wa kushuka moyo.
-