Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutahini na Kupepeta Kuanzia Ndani
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Kuhusu ono lake mwenyewe na maono ya wengine katika 1925, Jules Fel­ler alieleza: “Wale walioweka tumaini lao katika Yehova walibaki imara na wakaendelea na utendaji wao wa kuhubiri.” Walitambua kwamba kosa lilikuwa limefanywa lakini kwamba Neno la Mungu halikuwa limeshindwa hata kidogo, na kwa hiyo hakukuwa na sababu ya ama kuacha tumaini lao wenyewe lididimie ama kupunguza mwendo wa kazi ya kuelekeza watu kwenye Ufalme wa Mungu kuwa tumaini pekee la wanadamu.

  • Kutahini na Kupepeta Kuanzia Ndani
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Sanduku/Picha katika ukurasa wa 633]

      Jules Feller

      Alipokuwa kijana, Jules Feller aliona mitihani mikali ya imani. Baadhi ya makutaniko katika Uswisi yalipungua kufikia nusu ya ukubwa wayo au hata chini zaidi. Lakini baadaye aliandika: “Wale walioweka tumaini lao katika Yehova walibaki imara na kuendelea na utendaji wao wa kuhubiri.” Ndugu Feller aliazimia kufanya hivyo pia, na kama tokeo, hadi kufikia 1992 ameonea shangwe miaka 68 ya utumishi wa Betheli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki