-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kuhusu ono lake mwenyewe na maono ya wengine katika 1925, Jules Feller alieleza: “Wale walioweka tumaini lao katika Yehova walibaki imara na wakaendelea na utendaji wao wa kuhubiri.” Walitambua kwamba kosa lilikuwa limefanywa lakini kwamba Neno la Mungu halikuwa limeshindwa hata kidogo, na kwa hiyo hakukuwa na sababu ya ama kuacha tumaini lao wenyewe lididimie ama kupunguza mwendo wa kazi ya kuelekeza watu kwenye Ufalme wa Mungu kuwa tumaini pekee la wanadamu.
-
-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Sanduku/Picha katika ukurasa wa 633]
Jules Feller
Alipokuwa kijana, Jules Feller aliona mitihani mikali ya imani. Baadhi ya makutaniko katika Uswisi yalipungua kufikia nusu ya ukubwa wayo au hata chini zaidi. Lakini baadaye aliandika: “Wale walioweka tumaini lao katika Yehova walibaki imara na kuendelea na utendaji wao wa kuhubiri.” Ndugu Feller aliazimia kufanya hivyo pia, na kama tokeo, hadi kufikia 1992 ameonea shangwe miaka 68 ya utumishi wa Betheli.
-