-
Kondoo wa Yehova Wahitaji Utunzaji MwororoMnara wa Mlinzi—1996 | Januari 15
-
-
e Ikiwa uamuzi ni wa kutenga na ushirika na rufani imekatwa, tangazo lapasa liahirishwe. Ona kurasa 147-148 za kitabu Tumefanywa Tengenezo Tutimize Huduma Yetu.
-
-
Kondoo wa Yehova Wahitaji Utunzaji MwororoMnara wa Mlinzi—1996 | Januari 15
-
-
17. Ni hatua zipi zinazochukuliwa ikiwa mkosaji aliyebatizwa hatubu na kuacha mwendo wake wenye dhambi?
17 Bila shaka, kubatizwa juzijuzi si udhuru wa kuzoea dhambi bila kutubu. (Waebrania 10:26, 27; Yuda 4) Ikiwa mkosaji yeyote aliyebatizwa hatubu na kuacha mwendo wake wenye dhambi, yeye angeondoshwa kutanikoni. (1 Wakorintho 5:6, 11-13; 2 Wathesalonike 2:11, 12; 2 Yohana 9-11) Hatua hii ionekanapo kuwa ya lazima, baraza la wazee litachagua halmashauri ya kihukumu. Ikiwa kuondosha kunatukia, tangazo hili fupi laweza kufanywa: “ . . . ametengwa na ushirika.”e
-