-
Maagizo Yalitoka Wapi?Maswali Matano Muhimu Kuhusu Chanzo cha Uhai
-
-
[Mchoro katika ukurasa wa 14, 15]
(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)
“Mafanikio ya uhandisi”
Jinsi DNA Inavyopangwa
Kupanga DNA ndani ya kiini ni mafanikio makubwa ya kihandisi—kama vile kupanga uzi wenye urefu wa kilomita 40 ndani ya mpira wa tenisi
[Mchoro katika ukurasa wa 16, 17]
(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)
Kutoa Nakala
Jinsi DNA Inavyonakiliwa
1 Sehemu hii ya mashini ya kimeng’enya hugawanya DNA katika nyuzi mbili tofauti
2 Sehemu hii ya mashini huchukua uzi wa DNA na kuutumia kama kigezo cha kutengeneza uzi wenye nyuzi mbili
3 Kibanio chenye umbo la mviringo ambacho huongoza na kuimarisha mashini ya kimeng’enya
4 Nyuzi mbili zilizokamilika za DNA zinatengenezwa
Ikiwa DNA ingekuwa na ukubwa wa reli, mashini ya kimeng’enya ingesafiri kwa mwendo wa zaidi ya kilomita 80 hivi kwa saa
[Mchoro katika ukurasa wa 18, 19]
(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)
Kurekodi
Jinsi DNA “Inavyosomwa”
1 Hapa DNA haijanyooshwa. Uzi unaoonekana hupeleka habari kwa RNA
2 RNA “husoma” DNA, na kuchukua habari zilizo ndani ya chembe ya urithi. DNA huiambia mashini ya kurekodi mahali itakapoanzia kurekodi na itakapomalizia
3 Ikiwa na habari nyingi, RNA huondoka kwenye kiini cha chembe na kwenda kwenye ribosomu, ambapo inapeleka maagizo kuhusu jinsi ya kutengeneza protini tata
4 Mashini ya kurekodi
-
-
Maagizo Yalitoka Wapi?Maswali Matano Muhimu Kuhusu Chanzo cha Uhai
-
-
Picha katika ukurasa wa 20]
MOLEKULI INAYOWEZA KUSOMWA NA KUNAKILIWA
DNA inaweza kusomwa na kunakiliwa bila kukosea jinsi gani? Kemikali nne zinazotumika katika ngazi ya DNA—A, T, G, na C—hufanyiza kila kipago cha ngazi kwa kujipanga kwa mpangilio uleule: A na T, G na C. Ikiwa upande mmoja wa kipago ni A, nyakati zote ule upande mwingine ni T; na nyakati zote G hukutana na C. Kwa hiyo, ikiwa una upande mmoja wa ngazi, unaujua ule upande mwingine. Upande mmoja wa ngazi ukiwa GTCA, lazima ule upande mwingine uwe CAGT. Vipago hivyo nusu-nusu hutofautiana kwa urefu, lakini vinapoungana, vinafanyiza vipago kamili vyenye urefu ulio sawa.
-