-
Mtumishi wa Yehova—‘Alichomwa kwa Silaha kwa Ajili ya Ukosaji Wetu’Mnara wa Mlinzi—2009 | Januari 15
-
-
Paulo aliandika hivi: “Mungu aliona ni vema ujazo wote ukae katika yeye [Kristo], na kupitia yeye apatanishe tena kwake mwenyewe vitu vingine vyote kwa kufanya amani kupitia damu aliyomwaga juu ya mti wa mateso, hata kama ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.”—Kol. 1:19, 20.
-
-
Mtumishi wa Yehova—‘Alichomwa kwa Silaha kwa Ajili ya Ukosaji Wetu’Mnara wa Mlinzi—2009 | Januari 15
-
-
16. “Vitu vilivyo duniani” ni akina nani, na ni kwa njia gani wanawezeshwa kuwa na msimamo wa uadilifu mbele za Yehova?
16 “Vitu vilivyo duniani” ni kondoo wengine wa Kristo, ambao wana tumaini la kuishi milele duniani. Mtumishi mchaguliwa wa Yehova anawawezesha pia kuwa na msimamo wa uadilifu mbele za Yehova. Kwa kuwa wana imani katika dhabihu ya ukombozi ya Kristo na “wamefua kanzu zao na kuzifanya nyeupe katika damu ya Mwana-Kondoo,” Yehova anawatangaza kuwa waadilifu, si ili wawe wana wa kiroho, bali ili wawe marafiki wake, na kuwapa tumaini zuri ajabu la kuokoka “ile dhiki kuu.” (Ufu. 7:9, 10, 14; Yak. 2:23)
-