-
Sakafu ya Bahari—Siri Zake ZafunuliwaAmkeni!—2000 | Novemba 22
-
-
Kiumbe anayedhaniwa kuwa mdogo zaidi duniani aligunduliwa hivi karibuni pia chini ya bahari, lakini umbali wa kilometa tano ndani ya sakafu ya bahari! Ripoti moja katika gazeti la The New York Times yaeleza ugunduzi huo, uliotukia karibu na ufuo ulio Magharibi mwa Australia, kuwa “wa ajabu sana kiasi cha kuzusha mjadala mkali ulimwenguni pote.” Swala linalobishaniwa ni kama nanobe—zinaitwa hivyo kwa sababu hupimwa ukubwa kwa nanometa, au kipimo cha sehemu moja kwa bilioni ya meta—ni viumbe au la. Hufanana na kuvu, hutoshana na virusi, vina DNA, na yaonekana huzaana upesi na kufanyiza makundi makubwa.
-
-
Sakafu ya Bahari—Siri Zake ZafunuliwaAmkeni!—2000 | Novemba 22
-
-
[Picha katika ukurasa wa 11]
“Nanobe”
Je, ni viumbe walio wadogo zaidi duniani?
[Hisani]
Dr. Philippa J. R. Uwins/University of Queensland
-