Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ‘Penda Kweli na Amani’!
    Mnara wa Mlinzi—1996 | Januari 1
    • Kwa kweli na hukumu ya amani mfanye hukumu zenu malangoni mwenu.

  • ‘Penda Kweli na Amani’!
    Mnara wa Mlinzi—1996 | Januari 1
    • Yehova huwataka watafute “hukumu ya amani,” wakijaribu, wakiwa wachungaji Wakristo, kurudisha amani kati ya watu wanaozozana na kuwasaidia watenda dhambi wenye toba wapate tena amani pamoja na Mungu. (Yakobo 5:14, 15; Yuda 23) Wakati uo huo, wao huhifadhi amani ya kutaniko, kwa moyo mkuu wakiondosha nje wale wanaoharibu amani hiyo kwa kuendelea kutenda makosa kimakusudi.—1 Wakorintho 6:9, 10.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki