-
Ule Uasi-imani Mkubwa WasitawiMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Miongoni mwa mikengeuko ya mapema kabisa kulikuwa na kutenganishwa kwa maneno “mwangalizi” (Kigiriki, e·piʹsko·pos) na “mwanamume mzee,” au “mzee” (Kigiriki, pre·sbyʹte·ros), hivi kwamba maneno hayo hayakutumiwa tena kurejezea cheo kilekile kimoja cha daraka.
-
-
Ule Uasi-imani Mkubwa WasitawiMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
d Neno la Kiingereza “priest” (kuhani au padri) latokana na pre·sbyʹte·ros (“mwanamume mzee,” au “mzee”) kama ifuatavyo: kutokana na neno pre(e)st la Kiingereza cha Enzi ya Katikati, lililotokana na neno prēost la Kiingereza cha Zamani, lililotokana na neno prester la Kilatini cha watu wa kawaida, lililofupishwa kutokana na neno presbyter la Kilatini cha Baadaye, lililotokana na pre·sbyʹte·ros la Kigiriki.
-