-
Je, Mageuzi Ni Jambo Hakika?Amkeni!—2006 | Septemba
-
-
b Ijapokuwa neno “spishi” limetumiwa mara nyingi katika makala hii, neno hilo halimo katika Biblia, kwani Biblia inatumia neno “aina” ambalo lina maana pana. Kwa kawaida, kile ambacho wanasayansi hurejelea kuwa badiliko katika spishi ni tofauti zilizopo katika “aina” fulani ya viumbe katika Biblia.
-
-
Je, Mageuzi Ni Jambo Hakika?Amkeni!—2006 | Septemba
-
-
g Taarifa: Mwanzo sura ya 1 inasema mimea na wanyama waliumbwa “kulingana na aina yake.” (Mwanzo 1:12, 21, 24, 25) Hata hivyo, neno “aina” katika Biblia halitumiwi kwa njia hususa na halipaswi kueleweka kuwa na maana sawa na neno “spishi” linalotumiwa katika sayansi.
-