-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kuelewesha Wazi Utambulisho wa “Mtumishi Mwaminifu na Mwenye Hekima”
Wengi waliopepetwa nje wakati huo walishikilia maoni ya kwamba mtu mmoja, Charles Taze Russell, alikuwa “mtumishi mwaminifu na mwenye hekima” aliyetabiriwa na Yesu kwenye Mathayo 24:45-47 (KJ), ambaye angegawanya chakula cha kiroho kwa nyumba ya imani. Hasa kufuatia kifo chake, The Watch Tower lenyewe lilijulisha maoni hayo kwa miaka kadhaa. Kwa kufikiria daraka kubwa ambalo Ndugu Russell alikuwa nalo, ilionekana kwa Wanafunzi wa Biblia wa wakati huo kwamba mambo yalikuwa hivyo. Yeye binafsi hakuendeleza wazo hilo, lakini alikubali yale yaliyoonekana kuwa mambo ya akili ya hoja hizo za wale waliozipendelea.c
-
-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
c Kulingana na Ndugu Russell, mke wake, ambaye baadaye alimwacha, alikuwa wa kwanza kutumia Mathayo 24:45-47 kumwelekea. Ona matoleo ya Watch Tower ya Julai 15, 1906, ukurasa 215; Machi 1, 1896, ukurasa 47; na Juni 15, 1896, kurasa 139-140.
-