Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Vitu Ambavyo Lazima Vitukie Karibuni
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 6. Yesu alitambulishaje ule mfereji ambao angetumia kuandalia ‘watumwa’ wake chakula cha kiroho leo?

      6 Mungu alikuwa na mfereji wa kuwasilisha Ufunuo katika siku ya Yohana, na Yohana alikuwa ndiye sehemu ya kidunia ya njia hiyo. Vivyo hivyo, Mungu ana njia ya kutolea ‘watumwa’ wake ulishaji wa kiroho leo. Katika unabii wake mkubwa kuhusu umalizio wa mfumo wa mambo, Yesu alitambulisha sehemu ya njia hii ya kidunia kuwa “mtumwa mwaminifu na mwenye uangalifu, ambaye, Bwana-mkubwa wake aliweka juu ya watu wake wa nyumba, kuwapa chakula chao kwa wakati unaofaa.” (Mathayo 24:3, 45-47, NW) Yeye anatumia jamii hii ya Yohana katika kufungua maana ya unabii huo.

  • Vitu Ambavyo Lazima Vitukie Karibuni
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 9. (a) Kama Yohana, jamii ya Yohana imeonyesha mwelekeo gani? (b) Yohana anaonyeshaje njia ambayo kwayo sisi tunaweza kuwa wenye furaha?

      9 Yohana alikuwa mwaminifu katika kutoa ushuhuda wa ule ujumbe ambao Mungu alimpa kupitia Yesu Kristo. Yeye alieleza kirefu “vitu vyote ambavyo yeye aliona.” Ile jamii ya Yohana imetafuta kwa hamu nyingi mwongozo kutoka kwa Mungu na Yesu Kristo ili ielewe unabii huo kikamili na kujulisha watu wa Mungu mambo yao mema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki