Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hofu Inayofaa na Isiyofaa
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Februari 15
    • Hofu inayofaa humwezesha mtu kuwa mwangalifu anapokabiliana na hatari, na hivyo kuepuka msiba,

  • Hofu Inayofaa na Isiyofaa
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Februari 15
    • Hata hivyo, hofu yaweza kumaanisha pia kutambua au kufikiria kitu ambacho kinaweza kujeruhi au kuharibu. Utambuzi huo humfanya mtu kuwa mwangalifu na mwenye busara.

  • Hofu Inayofaa na Isiyofaa
    Mnara wa Mlinzi—2002 | Februari 15
    • Hofu hiyo imefafanuliwa hivi katika Mithali 8:13: “Kumcha [“kumhofu,” NW] BWANA ni kuchukia uovu.” Hofu hiyo itamfanya mtu aepuke mwendo mbaya, kwa sababu, “kwa kumcha [“kumhofu,” NW] BWANA watu hujiepusha na maovu.”—Mithali 16:6.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki