-
Tauni za Yehova juu ya Jumuiya ya WakristoUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Na wa kwanza akapuliza tarumbeta yake. Na kukatukia mvua-mawe na moto uliotangamana na damu, nayo ikavurumishwa kwenye dunia; na theluthi moja ya dunia ikateketezwa, na theluthi moja ya miti ikateketezwa, na mimea yote ya chanikiwiti ikateketezwa.” (Ufunuo 8:7, NW)
-
-
Tauni za Yehova juu ya Jumuiya ya WakristoUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Hatia yayo ya damu, kwa sababu ya kushiriki katika vita vya karne ya 20, imefunuliwa, nayo imeonyeshwa kuwa inastahili wonyesho wenye moto wa hasira-kisasi ya Yehova.
-