Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mikusanyiko Ilichangia Kutoa Ushahidi

      Mashahidi wa Yehova walipofanya mkusanyiko wa kimataifa katika Paris, Ufaransa, katika 1955, ripoti za habari za televisheni zililipa taifa zima fursa ya kuona yaliyotukia. Katika 1969 mkusanyiko mwingine ulifanywa karibu na Paris, na ilikuwa wazi kwamba huduma ya Mashahidi ilikuwa imekuwa yenye mazao. Wale waliobatizwa kwenye mkusanyiko huo walikuwa na idadi ya 3,619, au asilimia kama 10 ya wastani wa hudhurio. Kuhusu hilo, gazeti la habari la Paris la jioni lenye kupendwa sana France-Soir la Agosti 6, 1969, lilisema hivi: “Kinachowatia wasiwasi makasisi wa zile dini nyingine si ile njia yenye kutazamisha ya ugawanyaji wa vichapo itumiwayo na mashahidi wa Yehova, bali, kule kufanya waongofu. Kila mmoja wa mashahidi wa Yehova ana wajibu wa kutoa ushahidi au kupiga mbiu ya imani yake kwa kutumia Biblia nyumba hadi nyumba.”

  • Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya Dunia
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Picha katika ukurasa wa 496]

      Mikusanyiko mikubwa iliupa umma fursa ya kujionea na kusikia wenyewe Mashahidi walikuwa watu wa aina gani

      Paris, Ufaransa (1955)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki