-
Mitindo InayobadilikaAmkeni!—2003 | Septemba 8
-
-
Waanzilishi wa Mitindo
Kwa karne nyingi wafalme na wastaarabu ndio walioanzisha mitindo ya mavazi. Katika karne ya 17, Mfalme Louis wa 13 wa Ufaransa aliamua kuvaa nywele bandia ili kufunika upara wake. Muda si muda, wastaarabu wengine barani Ulaya wakawa wakinyoa nywele zao na kuvaa nywele bandia—mtindo huo ukadumu kwa zaidi ya karne moja.
-
-
Mitindo InayobadilikaAmkeni!—2003 | Septemba 8
-
-
[Picha]
Mfalme Louis wa 13
[Hisani]
From the book The Historian’s History of the World
-