Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mitindo Inayobadilika
    Amkeni!—2003 | Septemba 8
    • Waanzilishi wa Mitindo

      Kwa karne nyingi wafalme na wastaarabu ndio walioanzisha mitindo ya mavazi. Katika karne ya 17, Mfalme Louis wa 13 wa Ufaransa aliamua kuvaa nywele bandia ili kufunika upara wake. Muda si muda, wastaarabu wengine barani Ulaya wakawa wakinyoa nywele zao na kuvaa nywele bandia—mtindo huo ukadumu kwa zaidi ya karne moja.

  • Mitindo Inayobadilika
    Amkeni!—2003 | Septemba 8
    • [Picha]

      Mfalme Louis wa 13

      [Hisani]

      From the book The Historian’s History of the World

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki