Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Tahiti
    2005 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Tukifikiria uvumilivu na bidii ya familia ya Temanaha na wengine kama wao, na vilevile urafiki wa wenyeji wa kisiwa hicho, haishangazi kwamba leo kuna kutaniko lenye ongezeko huko Huahine. Sasa kuna mhubiri 1 kati ya watu 53 kwenye kisiwa hicho. Na katika miaka ya majuzi, mtu 1 kati ya watu 12 wamehudhuria Ukumbusho!

  • Tahiti
    2005 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Hivi majuzi, Colson Deane aliyekuwa msaidizi wa msimamizi wa gereza huko Tahiti alistaafu, naye pamoja na mkewe Lina wakahamia kisiwa cha Tubuaï, kimojawapo cha Visiwa vya Tubuaï. Wote wawili ni mapainia na wanasaidia sana kutaniko dogo kwenye kisiwa hicho, ambacho kiko katika eneo lenye uhitaji mkubwa wa wazee.

  • Tahiti
    2005 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Katika Huduma Yetu ya Ufalme ya mwaka wa 1981, ofisi ya tawi ya Ufaransa ilitangaza kwamba kulikuwa na uhitaji wa wazee katika kisiwa cha Mooréa, kilicho umbali wa kilometa 19 kutoka Papeete. Ndugu wawili na wake zao waliitikia mwito huo. Alain na Eileen Raffaelli walikuwa kati yao, nao walitumikia huko Mooréa kwa muda wa miaka minane, na walisaidia kuanzisha kutaniko katika kisiwa hicho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki