Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana Aona Yesu Aliyetukuzwa
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Alikuwako “katikati ya vinara vya taa mtu fulani kama mwana wa binadamu, amevaa vazi ambalo lilifika chini kwenye nyayo, na amefungwa kwenye matiti kwa mshipi wa dhahabu.” (Ufunuo 1:13, NW)

  • Yohana Aona Yesu Aliyetukuzwa
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Kama makuhani wakuu wa kale wa Kiyahudi, yeye anavalia mshipi—mshipi wa dhahabu juu ya matiti yake ambapo unafunika moyo wake. Hilo linamaanisha kwamba yeye atatekeleza kwa moyo utume wake wa kimungu aliopokea kutoka kwa Yehova Mungu.—Kutoka 28:8, 30; Waebrania 8:1, 2.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki