-
Kutokeza Fasihi za Biblia Ili Zitumiwe Katika HudumaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Lakini The Golden Age lilichapwa huko pia, na katika mwaka wa kwanza, toleo la Septemba 29 lilikuwa la pekee. Lilikuwa na habari nyingi juu ya kufunuliwa kwa wachochezi wa mnyanyaso dhidi ya Wanafunzi wa Biblia kuanzia 1917 hadi 1920. Nakala milioni nne zilichapwa! Mmojawapo wafanyakazi wa matbaa ya kiwanda alisema hivi baadaye: ‘Kila mtu isipokuwa mpishi alitumikia ili kutokeza toleo hilo.’
-
-
Kutokeza Fasihi za Biblia Ili Zitumiwe Katika HudumaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 579]
Matbaa ya kwanza yenye mabamba- mviringo ya Sosaiti ilitumiwa kuchapa nakala 4,000,000 za “Golden Age” Na. 27 yenye maneno ya kuchoma
-