Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Nilitumwa Kufanya Hivyo”
    ‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
    • 5. Ni kazi gani kuu ambayo Yesu alifanya maishani, na tutachunguza nini katika sura hii?

      5 Pindi moja Yesu alisema: “Lazima nitangaze habari njema ya ufalme wa Mungu, . . . kwa sababu nilitumwa kufanya hivyo.” (Luka 4:43) Yesu alitumwa kuhubiri na kufundisha habari njema ya Ufalme wa Mungu.b

  • “Nilitumwa Kufanya Hivyo”
    ‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
    • b Kuhubiri ni kutangaza au kueneza habari fulani. Kufundisha kuna maana hiyo pia, lakini kunatia ndani kueleza habari kwa mapana na marefu. Kufundisha kuzuri kunahusisha kutafuta njia za kufikia mioyo ili kuwachochea wanafunzi kutenda mambo wanayosikia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki