-
Mkumbuke Muumba Wako Mtukufu!Mnara wa Mlinzi—1999 | Novemba 15
-
-
na panzi atakuwa ni mzigo mzito [“ajikokota,” NW];
-
-
Mkumbuke Muumba Wako Mtukufu!Mnara wa Mlinzi—1999 | Novemba 15
-
-
‘Anapojikokota,’ labda akiwa ameinama na mikono ikining’inia au ikiwa mikono imewekwa kwenye nyonga navyo viwiko vikiwa vimejikunja kuelekea juu, yeye hufanana na panzi. Lakini ikiwa mmoja wetu yuko hivyo, wengine watambue kwamba tumo katika jeshi la Yehova la panzi, lenye nguvu na kasi!—Ona Mnara wa Mlinzi, Mei 1, 1998, ukurasa wa 8-13.
-