-
Tangazeni Mfalme na Ufalme! (1919-1941)Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Katika 1933, Mashahidi wa Yehova walianza kutumia njia nyingine mpya ya kuhubiri. Mashine yenye kuchukulika ya kupigia sahani za santuri yenye kikuza-sauti na kipaaza-sauti ilitumiwa kusambazia mirekodi yenye mihadhara ya redio ya Ndugu Rutherford kwenye sahani za santuri zenye mwendo wa mizunguko 33 1/3 kwa dakika moja, katika majumba, bustani, na mahali pengine pa umma. Magari yenye vipaaza-sauti na mashua zenye vipaaza-sauti zilitumiwa pia kuvumisha ujumbe wa Ufalme.
-
-
Tangazeni Mfalme na Ufalme! (1919-1941)Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Mashua yenye vipaaza-sauti ikisambaza kwenye Mto Thames, katika London, Uingereza (juu)
-