Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jumba la Makumbusho la Uingereza Larekebishwa
    Amkeni!—2001 | Desemba 8
    • Maktaba ya Jumba la Makumbusho la Uingereza na Jumba lenyewe la Makumbusho lilifunguliwa kwa watu wote mwaka wa 1759. Jengo hilo lilimalizwa kujengwa mwaka wa 1852. Lakini katika 1997, maktaba hiyo, inayoitwa Maktaba ya Uingereza, ilihamishwa kwenye jengo jingine karibu na hapo, pamoja na vitabu milioni 12 na makumi ya maelfu ya hati na nishani.

  • Jumba la Makumbusho la Uingereza Larekebishwa
    Amkeni!—2001 | Desemba 8
    • Sehemu iliyovutia watu sana katika ua huo, unaoitwa Ua Mkubwa, ni kile Chumba cha Kusoma chenye dari la kuba. Tangu kilipoanza kutumiwa mwaka wa 1857, Chumba cha Kusoma kimependwa na watafiti kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni. Mohandas Gandhi, Charles Darwin, na Karl Marx ni baadhi ya watu maarufu ambao wametumia chumba hicho cha maktaba hiyo maarufu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki