Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ule Uasi-imani Mkubwa Wasitawi
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mwanafalsafa Mgiriki Plato (aliyezaliwa kama 428 K.W.K.) hakuwa na njia ya kujua kwamba hatimaye mafundisho yake yangepata njia ya kuingia ndani ya Ukristo ulioasi imani. Mambo makuu ambayo Plato aliuchangia “Ukristo” yalihusu mafundisho ya Utatu na kutokufa kwa nafsi.

  • Ule Uasi-imani Mkubwa Wasitawi
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Kuhusu fundisho la nafsi isiyoweza kufa, “New Catholic Encyclopedia” yasema: “Dhana ya Kikristo ya nafsi ya kiroho iliyoumbwa na Mungu na kutiwa katika mwili wakati wa mtungo wa mimba ili kufanyiza mwanadamu kuwa kitu kizima kilicho hai ni tunda la usitawi wa muda mrefu wa falsafa ya Kikristo. Ni kupitia Origen tu [aliyekufa kama 254 W.K.] katika Mashariki na Mt. Augustine [aliyekufa 430 W.K.] katika Magharibi kwamba nafsi ikathibitishwa kuwa namna ya kiroho na dhana ya kifalsafa iliyofanyizwa kutoka asili yayo. . . . Fundisho lake [la Augustine] . . . lilikuwa na mambo mengi (kutia na makosa fulanifulani) kutokana na mawazo mapya ya Plato.”—Buku la 13, kurasa 452, 454.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki