-
Tianeni NguvuMnara wa Mlinzi—2004 | Mei 1
-
-
Akizungumza kuhusu Wakristo hao watano, Paulo anasema: “Hawa ndio wamekuwa msaada wenye kunitia nguvu.”—Wakolosai 4:7-11.
4 Paulo alitoa taarifa yenye nguvu kuhusu msaada aliopata kutoka kwa marafiki wake waaminifu. Alitumia neno la Kigiriki (pa·re·go·riʹa) linalotafsiriwa ‘msaada wenye kutia nguvu,’ ambalo linapatikana tu katika mstari huo wa Biblia. Neno hilo lina maana nyingi na lilitumiwa hasa kuhusiana na madawa.a Linaweza kutafsiriwa kuwa ‘kitulizo, faraja, au nafuu.’ Paulo alihitaji kuimarishwa kwa njia hiyo, nao wanaume hao watano walifanya hivyo.
-
-
Tianeni NguvuMnara wa Mlinzi—2004 | Mei 1
-
-
a Kichapo Vine’s Complete Expository Dictionary of Old and New Testament Words, cha W. E. Vine, kinasema: “Kitenzi cha neno [pa·re·go·riʹa] hurejelea dawa ambazo hutuliza mwasho.”
-