-
Makao Makuu ya Ulimwengu na Ofisi ya Tawi Makuu ya Mashahidi wa YehovaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Ijapokuwa Kanisa Othodoksi la Kigiriki limewanyanyasa sana Mashahidi wa Yehova kwa miaka mingi, sasa kuna watumishi waaminifu wa Yehova zaidi ya 24,000 katika nchi hii.
-
-
Makao Makuu ya Ulimwengu na Ofisi ya Tawi Makuu ya Mashahidi wa YehovaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 380]
Picha ilipigwa katika 1990 wakati wa maandamano yaliyoongozwa na makasisi dhidi ya Mashahidi
-