Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuwasaidia Wajane Wakabiliane na Majaribu Yao
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Mei 1
    • Bila shaka, kila mtu ana mahitaji tofauti kabisa na ya mwingine. Sandra, aliyetajwa mwanzoni, asema: “Wakati wa huzuni nilipata nilichohitaji—marafiki wapendwa sana walikuja kwa wingi.” Kwa upande mwingine, Elaine aliyetajwa mapema, alihitaji wakati wa faragha.

  • Kuwasaidia Wajane Wakabiliane na Majaribu Yao
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Mei 1
    • Elaine asema: “Muda mrefu baada ya David kufa, nilikuwa na maumivu makali kama ya kisu kinachogeuzwa-geuzwa mbavuni mwangu. Nilifikiri nina shida ya kumeng’enya chakula. Siku moja maumivu hayo yalikuwa makali sana hivi kwamba nilifikiri ningelazimika kumwona daktari. Dada mmoja wa kiroho ambaye pia ni rafiki mwenye utambuzi alidokeza kwamba huenda huzuni yangu ndiyo iliyosababisha maumivu hayo. Alinitia moyo nimwombe Yehova msaada na faraja. Nilikubali shauri lake mara moja na kutoa sala kimyakimya ya kutoka moyoni, nikimwomba Yehova anitegemeze nikabiliane na huzuni yangu. Naye alinitegemeza!” Elaine alipata nafuu, na punde baada ya hapo hata maumivu yake yakaisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki